"TUJENGE TABIA YA KUNAWA MIKONO, KWA WOTE "
NYAKATI ZA KUNAWA MIKONO
- Baada yakupiga chafya /kukoa
- Baada ya kutoka chooni
- Kabla na baada ya kumsafisha mtoto aliyejisaidia
- Kabla /wakati / baada ya kuanda chakula
- Kabla ya kula
- Kabla na baada ya Kumtembelea kumhudumia mgonjwa
- Baada ya kubeba na Kutupa taka
- Baada ya Kugusa vitasa vya mlango
- Baada ya kuwa kwenye maeneo ya umma
- Baada ya kuwashughulikia wanyama
KANUNI ZA UNAWAJI WA MIKONO, KWA MAJI TIRIRIKA NA SABUNI
2. Paka Sabuni kwenye sehemu zote za viganja na kutengeneza povu
6.Suuza mikono vizuri kwa maji tiririka, kisha kausha kwa tissue, ama kwa kutumia hewa/upepo
- Shuleni /vyuo
- Ofisini
- Hopsital/ vituo vya Afya
- Hotelini/ Nyumba za wageni
- Gerezani/ vituo vya polisi
- Stendi za mabasi
- Nyumba za ibada
- Kunawa Mikono mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni kila unapotoka na kurudi nyumbani ili kjikinga wewe na familia yko dhidi ya magonjwa ya mlipuko
- Nyakati muhimu za kunawa mikono
- Wajenge watoto tabia ya kunawa mikono mara kwa mara kwa maji titrirka na sabuni kwa kukuza ufahamu wa jinsi ya kunawa mikono kwa usahii ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko
(Nyumba
Ni Choo – National Behavioural Change Campaign on Sanitation and Hygiene.,
n.d.)
(Kahn, 2019)
(Health
Promotion, n.d.)
(Program:
Elimu Ya Afya, n.d.)
Comments
Post a Comment